Kuwa na dada kunaongeza afya ya akili

Picha ya Alikiba na Diamond Platnumz wakiwa na dada zao

Kwa Mujibu wa Jarida la Saikolojia ya Familia 'Journal of Family Psychology' umebaini ukiwa na dada kwenye familia kunaweza ku-boost afya yako ya akili na kuongeza kujithamini katika maisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS