Picha ya msanii Chris Brown
Chris Brown amegusia hilo kupitia 'Insta Story' yake muda mchache baada ya kumalizika show Super Bowl aliyofanya Bad Bunny.
"Nadhani ni salama kusema wananihitaji mimi" amesema Chris Brown
Wiki kadhaa zilizopita zilianza kampeni kutoka kwa wadau wa muziki, mashabiki na wasanii kama Ne-Yo na rapa Boosie Badazz zikisema Chris Brown anatakiwa aperform Super Bowl.




