Nico Williams na Lamine Yamal
Taarifa kutoka gazeti la Marca imeeleza kuwa, hali ya mchezaji huyo haiwashawishi madaktari wa klabu yake wala wa timu ya taifa, jambo ambalo limeibua wasiwasi mkubwa kuhusu uwezekano wa kushiriki kwake kwenye mashindano hayo makubwa.
Hata hivyo, kuna uwezekano wa Nico Williams kufanyiwa upasuaji, ambao unaweza kuwa suluhisho pekee la kuhakikisha anapata nafuu.
Wadau wa soka wanangojea kwa hamu uamuzi wa madaktari na klabu, huku matumaini makubwa yakiwa ni kwamba Nico ataweza kurejea uwanjani akiwa tayari kwa mashindano ya kimataifa.



