
Klopp alijibu: “Sikuwa tena na nguvu ya kufikiria kuhusu kesho, na sikutaka kufikiria kuhusu kesho. Nilihitaji kuondoka na nilikuwa na furaha kumaliza msimu. Sikutaka kuulizwa tena ‘tutafanya nini hapa?’ au ‘tutafanya nini pale?’ kwa sababu yote hayo yalikuwa majukumu yangu. Ingawa sikuwa na maamuzi ya mwisho kwenye masuala ya fedha, mambo mengine yote yalikuwa chini yangu.”
Chanzo: The Diary Of A CEO