
Katika podcast hiyo pia Davido ameweka wazi kuwa ushauri ambao kila siku anapokutana na na Dangote jambo pekee ambalo huwa anaambiwa ni kuhakikisha anatunza pesa/anatumia pesa vizuri
Kitu kingine pia ambacho kiliwashangaza watangazaji zaidi ni baada ya Davido kuwambia kuwa Baba yake huyo wa ubatizo ana zaidi ya miaka 10 hajawahi kununua gari jipya kwaajili ya matumizi yake"Anaendesha gari ya mwaka 2005" na ni zaidi ya miaka 20 hajawahi kwenda Vacation"