Friday , 20th Jun , 2025

Rapa wa Marekani na muigizaji 50 Cent anatuambia kuna uwezekano mkubwa wa mtu kuishi maisha mazuri bila ya kuwa na pesa na hata ukiwa nazo pia.

Picha ya 50 Cent

50 Cent amefunguka hilo kwenye Podcast ya 'Brian Roberts' wakizungumzia kuhusu biashara,sanaa na namna ya kutoboa kimaisha.

"Watu wengine wanajua jinsi ya kuishi vizuri zaidi kuliko wengine wakiwa na pesa au bila pesa" - 50 Cent

Kingine ambacho amesisitiza 50 Cent ni mtu kupata ushindani kwenye anachokifanya sababu inakufanya ujitume zaidi na kufanikiwa.