
Mwili
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo akiwemo Idaya Makoroboyi na Edesi Mlango wamesema kuwa tukio hilo ambalo sio la kawaida limewashitusha wakazi wengi wa Mtaa wa Mpanda Hotel
Ibrahim Msanda Mwenyekiti wa mtaa wa Mpanda Hotel amesema kuwa alipata taarifa hiyo kutoka kwa mjumbe wa serikali ya mtaa.
Emanuel Ndochi Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto mkoa wa katavi amesema wamefika eneo la tukio na kufanya uokozi wa mwili wa marehemu kwenye Mto huo