
Wesley Fofana - Beki wa klabu ya Chelsea
Ikumbukwe mwanzoni mwa mwezi Januari kocha wa Cheslsea Enzo Maresca alisema Mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 24 anaweza kukosekana mpaka mwishoni mwa msimu na kuwafanya The Blues kuamua kumrejesha Trevoh Chalobah kutoka Crystal Palace kama mbadala wa Fofana .
Chalobah raia wa Uingereza anakabiliana na jeraha dogo ambalo litamfanya akose mchezo dhidi ya watakatifu Southampton Utakaopigwa leo saa 5 Usiku huku Fofana anatarajiwa kuwepo kwenye kikosi hiko