Wachezaji hao watakaokuwa chini ya Kocha Mkuu Bakari Shime ni Najat Abasi, Asha Mrisho, Lidya Maximilian, Protasia Mbunda, Enekia Kasonga, Juletha Singano, Vailet Mwamakamba na Anastazia Katunzi.
-
Wengine ni Joyce Lema, Janeth Christopher, Ester Maseke, Diana Lucas, Aisha Juma, Stumai Athuman, Winifrida Gerald, Maimuna Kaimu, Elizabert Charles, Aisha Masaka, Oppa Clement na Clara Luvanga.
Thursday , 27th Jun , 2024
Wachezaji 20 wa kikosi cha timu ya taifa ya wanawake(Twiga Stars) wataingia kambini Julai 1, 2024 kwa ajili ya michezo miwili ya kirafiki dhidi ya Tunisia na Botswana.