![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2024/04/30/costaaa.jpg?itok=u_3vZVGq×tamp=1714471722)
Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba
Akizungumzia ajali hiyo Mkuu wa wilaya ya Bukoba Erasto Sima, amesema kuwa kwenye coaster kulikuwemo watu watano na Land cruise watu wawili na kwenye nyumba walikuwepo watu wawili ila hakuna kifo na majeruhi wamekimbizwa hospital ya Rufaa ya mkoa Bukoba.