Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samatta na job watemwa Stars

Wednesday , 13th Mar , 2024

Nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta na mlinzi Dickson Job wametemwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ambacho kitaingia kambini Machi 17 kujiandaa na michezo miwili ya kirafiki ya FIFA Series 2024 dhidi ya Bulgaria na Mongolia mnamo Machi 22 na 25-2024.

Akitangaza kikosi hicho mbele ya waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars Hemed Suleiman Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 23 huku ameweka wazi kuwa kikosi hicho ni mchanganyiko wa wachezaji vijana na wenye uzoefu kwa ajili yakutengeneza muunganiko mzuri ndani ya timu hiyo.

“Tutakuwa na mechi mbili za kirafiki tutacheza Machi 22 na 25, mwaka huu dhidi ya Bulgaria na Mongolia, baada ya hapo wachezaji watarejea haraka kwa ajili ya majukumu mengine’’amesema Morrocco.

Kwa upande mwingine,Morocco amesema kupata michezo ya kirafiki na timu kama  Bulgaria ni kitendo kizuri kwani Taifa Stars inapaswa kupata michezo mikubwa ili wachezaji wa timu hiyo wazidi kuwa wakubwa na kufanya vizuri kwenye mashindano mbalimbali ambayo kikosi hicho kinashiriki.
 

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi