Wakazi wa Mwanza wakitembea kwa mguu baada ya daladala kugoma
EastAfricaTV imepita katika mitaa mbalimbali jijini humo kushuhudia nauli zikipanda kwa usafiri wa bodaboda na bajaji, huku sababu kubwa ya mgomo ikitajwa kuwa ni muingiliano katika kazi baina ya bajaji na daladala.