Ubora wa Leo Messi umetambulika baada ya ushawishi mkubwa kwenye upande wa michezo nchini Marekani, baada ya kuhamia kwenye klabu ya Inter Miami.
Kufanikisha timu yake ya taifa kunyakua kombe la Dunia mwaka 2022, zaidi ya hayo kuchukua tuzo ya 8 ya Ballon d'Or
Hii ni kudhihirisha ubora na umahiri wa mchezaji huyo kwenye upande wa michezo
Picha: Messi