
Picha ya msanii wa Kenya Femi One
Femi One amesema wasipompigia simu kumuomba msamaha ataingia studio kurekodi Diss dhidi yao na atawaonesha yeye ni rapa wa aina gani.
Msanii wa Kenya Femi One ametoa saa 72 za kuombwa msamaha na rappers wa Tanzania ambao wamemdiss kwenye ngoma zao kupitia Challenge aliyoanzisha rapa Khaligraph baada ya kudiss muziki wa HipHop Tanzania.
Picha ya msanii wa Kenya Femi One
Femi One amesema wasipompigia simu kumuomba msamaha ataingia studio kurekodi Diss dhidi yao na atawaonesha yeye ni rapa wa aina gani.