Meneja wa timu hiyo bwana Ally kimote amesema kuwa kikosi kinaendelea vyema huku kila mchezaji akiwa na shauku ya kufanya vyema katika mashindano hayo ili kupata nafasi ya Kwenda kucheza kombe la dunia nchini Sri Lanka .
‘’Kwa ujumla vijana wapo vizuri na wapo tayari kwaajili ya kufanya vizuri na kuitangaza nchini ya Tanzania katika mchezo huu wa kriketi ‘’ amesema Ally kimote
Mashindano hayo yatasharikisha nchini Zaidi sita ambazo ni Uganda , Kenya, Siera Lione , Namibia na mwenyeji Tanzania.