Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakulima wapatiwa mkopo wa shilingi trilioni 1.5

Friday , 30th Jun , 2023

Serikali ya Tanzania Kwa kushirikiana na nchi ya Denmark imesema hadi sasa matarajio ya uanzishwaji wa asasi ya Pass trust kwa lengo la kuondoa changamoto ya Wakulima hasa wadogo ambao hawana dhamana ya sheria ya fedha kama inavyohitaji imefikiwa kwa kiasi kikubwa.

Akitoa taarifa hiyo Mkurugenzi wa biashara kutoka Pass Trust Adam Kamanda katika maadhimisho ya siku ya Ushirika Duniani ambapo kitaifa amesema kuwa kutokana na kuwepo Kwa changamoto dhidi ya Wakulima Serikali ya Tanzania na Denmark ikaanzisha Pass Trust kama mfuko ambao uko chini ya Ofisi ya Waziri mkuu.

"Kwa kifupi lengo la mfuko huu na kazi yake ni kutathmini biashara, kutengeneza Mpango Biashara katika sekta ya kilimo kuanzia wavuvi, wafugaji, wa samaki,wakulima wadogo Kwa wakubwa kuwatengenezea mpango biashara kufanya tathimini na kuchukua mipango biashara hiyo kuiwekea dhamana."amesema

Kamanda amefafanua kuwa dhamana hiyo inatolewa mpaka asilimia 60 Kwa jamii nzima lakini inatoa mpaka asilimia 80 Kwa miradi yote ambayo inahusisha wanawake, Vijana au inafanya kilimo kinachozingatia utunzaji wa mazingira na kuongeza kuwa katika hilo wanawake na vijana mara nyingi hawana dhamana

Amesema kuwa mpaka hivi sasa pass trust imeweza kufanya biashara Zaidi ya 66,000 na imeweza kutoa mikopo kwenye dhamana inayozidi takribani tirioni 1.5 mpaka Sasa hiyo ni karibu asilimia 25 ya mikopo yote ya kilimo inadhamana ya pass trust.

Serikali ya Tanzania na Dennymark imeshukuliwa na wakulima kwa kubuni mfuko huo kwa sababu umechochea sehemu kubwa ya sekta hiyo ya kilimo,huku baadhi ya wanufaika wa mfuko huo wakieleza hali ilivyo kuwa kabla ya uanzishwaji wa mfuko huo kupitia ofisi ya waziri mkuu

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi