
RC Serukamba alimuagiza mhandisi wa halmashauri na afisa manunuzi kuongeza mafundi ili kuongeza kasi ya ujenzi ambapo unatakiwa kukamilika kabla ya June 30 mwaka huu
Mara baada ya kufika kuona utekelezaji wa agizo Serukamba amekerwa na afisa manunuzi Joseph Swila kwa kuonekana kumtetea mkandarasi anayejenga Majengo hayo huku akiwa hapatikani kwenye simu na hayupo site