Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakazi wa Mabwepande waanza kulipia ardhi yao

Thursday , 16th Mar , 2023

Zaidi ya wakazi 1800 katika kata ya mabwepande mkoani Dar es salaam wameanza sasa kulipia maeneo yao kwa ajili ya kuandaliwa hati na kumiliki ardhi kisheria mara baada ya kuzinduliwa kwa zoezi la utoaji wa namba maalum yaani control namba sambamba na kutoa barua za utambulisho.

Zoezi la ulipaji wa ardhi limezinduliwa rasmi kata ya Mabwepande

Zoezi la Kuwapatia nammba na barua Maalum linatokana na kukamilika kwa Zoezi la Upimaji Ardhi lililokuwa likiendeshwa na Shirika la Maendeleo la DDC mkoa wa Dar es salaam kwa wakazi hao waliovamia ardhi inayomilikiwa na Shirika hilo ambapo baada ya Makubaliano na Serikali ya Mkoa Dsm wananchi hao walikubali kulipa shilingi 6500 kwa Square Mita Moja.

Baadhi ya Wananchi wamelipokea zoezi hilo kwa furaha kwa kuwa linakwenda kumaliza Migogoro ya Ardhi iliyodumu katika kata ya Mabwepabde kwa zaidi ya Miaka 20 lakini pia kupata Umiliki halali wa Ardhi kupitia hati watakazopata huku wakishukuru serikali kupiti a shirika hilo

 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90