Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Binti (12) abakwa na kuuliwa Mwanza

Thursday , 16th Mar , 2023

Binti wa miaka 12 amefariki kwa kubakwa na kuchomwa kisu na watu wasiojulikana huko Pasiansi, Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.

Inadaiwa wabakaji hao walimvamia usiku anapoishi na bibi yake na kumbaka kisha kumchoma kisu shingoni kitendo kilichompelekea kupoteza  maisha wakati bibi yake akiwa kwenye shughuli zake za kuuza chakula.

Akielezea tukio hilo Bibi wa muathirika wa tukio hilo, Bi Mwanne Hassan amesema alimkuta mjukuu wake akiwa amelala mlango wazi lakini hata alipomuita hakuitika.

 "Nilipomaliza biashara nakurudi ndipo nilikuta mlango wazi, ilikuwa saa saba usiku nikafika nikasema mbona mlango upo wazi? Nikaingia ndani nakumuita lakini hakuitika, nikamshika nikaona amelegea hasemi kitu nikapiga kelele watu wakaja nikawauliza hamkusikia chochote? tulipompeleka pale Sabatho hospitali wakamuangalia kumbe walikuwa wamemjeruhi wamechoma kisu shingoni na kumbaka"

Kwa upande wa mama mzazi wa marehemu  amesema hakuwahi kulitegemea jambo hilo na kwamba limemuumiza kwani binti huyo anayemtaja kuwa ni mwanae wa kwanza alifanyiwa ukatili mkubwa sana.

Mwenyekiti wa mtaa wa Pasiansi Isaya Limbe amekiri kutokea kwa tukio hilo ambapo tukio hilo limetokea na kuahidi kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kuwabaini wahusika wa tukio hilo
 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90