Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilimo cha umwagiliaji hakikwepeki Tanzania

Monday , 28th Nov , 2022

Kufuatia serikali kupitia wizara ya kilimo kutangaza kusambaza vyakula kwa wilaya 41 nchini ili wananchi kuvipata kwa bei nafuu nimelazika kufika katika soko la Tandale na kuzungumza na wafanyabiashara wa mazao ambao wamesema kuwa bado hakuna unafuu wa bei kwa mazao nyeti ya chakula

Hali ya uwepo wa ukame kwa baadhi ya maeneo nchini wafanyabiashara wa nafaka wanaueleza kama somo ambalo seerikali inapashwa kulichukua ili kuchagiza kwa kasi kilimo cha umwagiliaji ambacho kitakuwa suluhu kwa watanzania wakibainisha kuwa Tanzania iko na mabonde mengi kila ukanda hivyo leo isingehangaika na uhaba wa mazao.

Hata ivyo wauzaji wa mchele na maharage sokoni hapo wamesema usafirishaji bado uko juu hadi 13000 kutoka 12000 kwa gunia ikisafirishwa kutoka mbeya wakibain isha hali ni ngumu kwa wananchi wa kima cha chini.

Hivi karibuni wizara ya kilimo kupitia kwa naibu waziri wake Antony Mvunde ilisema kuwa serikali imetenga shilingi bilioni 400 kwa ajili ya kuanza miradi ya umwagiliaji ili kuwaondoa wakulima katika hatari ya mabadiliko ya tabia nchi.

 

HABARI ZAIDI

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP