Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasichana wafanya ngono kwa 1000

Friday , 12th Aug , 2022

Wanawake wa Kijiji cha Katisunga wilaya ya Mpanda mkoa wa Katavi wamehofia ndoa zao kuvunjika kutokana na makundi ya wasichana wadogowadogo kuvamia Kijiji hicho na kufanya biashara ya ngono kwa bei chee ya shilingi 1000, huku wakipewa majina ya panya road na damu chafu.

Kijiji cha Katisunga

Wasichana hao ambao kwa umri wanadaiwa kuwa ni wadogo wanatoka katika maeneo tofauti tofauti ya mkoa wa Katavi ambapo kila siku majira ya saa 1:00 jioni huanza biashara hiyo wanayoifanya hovyo hadi kwenye milango ya watu inayosababisha kero kwa baadhi ya wakazi wa Kijiji hicho.

Wakazi wa Kijiji hicho wameliomba Jeshi la Polisi kufanya msako mkali na kuwakamata wasichana hao ambao wanafanya biashara ya ngono hadharani kwa kulinda maadili ya watoto wanaoendelea kukua wasiharibikiwe.

Kwa upande wake Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Ali Makame, akizungumza kwa njia ya simu amekemea vitendo hivyo na kuwataka wazazi kuwalea watoto katika maadili, kuwapeleka shule, kuwapa huduma za msingi huku akisisitiza kuwakamata watoto wote wanaofanya biashara hiyo.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90