Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Onana na Mkhitaryan watua Milan

Friday , 1st Jul , 2022

Baada kufanikiwa kuwanasa Romelu Lukaku na Kristjan Asllani kwa mkopo kutoka Chelsea na Empoli, klabu ya Inter Milan leo imekamilisha usajili wa mlinda mlango wa Cameroon Andre Onana toka klabu ya Ajax ya nchini Uholanzi pamoja na kiungo Henrikh Mkhitaryan toka klabu ya AS Roma.

Andre Onana

Onana mwenye umri wa miaka26 amesaini mkataba wa miaka mitano na sasa anakua mrithi wa Samir Handanovic mwenye umri wa miaka 37, ambaye amedumu Inter Milan kwa muongo mmoja. Huku mchezaji wa kimataifa wa Armenia Mkhitaryan amesaini mkatawa miaka miwili kuitumikia miamba hiyo ya soka ya Italia.

Wachezaji hao wamewasili jijini Milan wakiwa wachezaji huru baada ya kandarasi zao na timu zao za awali kumalizika.

(Henrikh Mkhitaryan)

Wawili hao wameorodheshwa katika wachezaji waliuokamilisha uhamisho wao kwenye tovuti ya ligi kuu ya Italia ‘Serie A’  na kufanya mikataba hiyo kuwa rasmi hata kama Inter haijatangaza rasmi kuwasili kwao.

Pia Milan wameripotiwa kuwepo kwenye mazungumzo ya kumleta Paulo Dybala ambaye naye ni mchezaji huru akitokea Juventus baada ya kukataa kuongeza mkataba na klabu hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90