Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kesi ya Zumaridi yakwama Mahakamani

Thursday , 30th Jun , 2022

Kesi namba 12 inayomkabili Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi na wafuasi wake 84 imekwama kuendelea leo katika Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza kutokana na shahidi kupata changamoto ya kiafya.

Mbele ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza Monica Ndyekobora wakili upande wa serikali Emmanuel Luvinga ameiambia mahakama hiyo kuwa shahidi hiyo ambae ni askari wa jeshi la Polisi anayefahamika kwa jina la Evodius ana changamoto ya kiafya na kuomba ipangwe tarehe nyingine ya shauri hilo kuendelea kusikilizwa

Jopo la mawakili upande wa utetezi likiongozwa na wakili Erick Mutta likaridhia ombi hilo ndipo mahakama ikapanga tarehe ya kusikiliza shauri hilo ambayo ni Julai 13 huku shahidi akitakiwa kufika Mahakamani hapo bila kukosa ili kutoa Ushahidi wake

Inaelezwa kuwa Zumaridi na wafuasi wake 84 wanakabiliwa na kosa la kumshambulia askari Polisi ajulikanaye kama Jmaes Mgaya katika sehemu mbalimbali za mwili wake na kumzuia kutekeleza majukumu yake ya kazi mnamo February 23 mwaka huu katika eneo la Buguku, Buhongwa wilayani Nyamagana jijini Mwanza.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90