Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndoto yangu imetimia-Phiri

Thursday , 16th Jun , 2022

Nyota mpya wa klabu ya Simba Moses Phiri, amefunguka kuwa ndoto yake imetimia baada ya kufanikiwa kutua katika kikosi na kusaini mkataba wa miaka miwili.

Straika wa Simba Moses Phiri

Phiri raia wa Zambia amesema Simba ni timu kubwa katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati na alitamani siku moja kucheza hapa ingawa amefuatwa pia na timu nyingine za hapa nchini.

“Ndoto yangu imetimia, nilikuwa natamani kucheza soka la Tanzania. Timu kadhaa zilinifuata lakini nimeichagua Simba. Marafiki zangu (Clatous Chama na Rally Bwalya) waliniambia kuwa hii timu kubwa na menejimenti yake ni nzuri na iko makini,” amesema Phiri.

Phiri ameongeza kuwa anajua Simba ni timu kubwa inashiriki michuano mikubwa inagombania ubingwa wa ligi kila msimu na mashabiki wanahitaji furaha lakini hana presha kwa kuwa soka ni kazi yake.

Kuhusu michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao ambao malengo yetu ni kufika nusu fainali, Phiri amesema kwa kushirikiana na wachezaji wenzake na benchi la ufundi anaamini tutafikia matarajio yetu.

 

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi