msanii wa bongofleva nchini Inspekta Haroun aka Babu
Inspekta almaarufu kama 'Babu' ameongea na Enewz akisema anaweza kufanya vizuri zaidi na mashabiki kumkubali jukwaani japokuwa kwa muda sasa hajaweza kupata show kubwa ambazo zingeweza kumsimamisha imara.
