Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Kibaha Sara Msafiri, na Waziri wa Kilimo Hussein Bashe
Hatua hiyo imekuja ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, baada ya Khalfani Issa (42) mkazi wa Kongowe kukamatwa kwa kuendesha kiwanda bubu cha kuchakata mawese, na kuagiza aachiwe ili asaidiwe kupitia SIDO.
Tazama video hapa chini