Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nilijinyanyapaa mwenyewe kisa VVU - Veronica

Wednesday , 1st Dec , 2021

Veronica Lyimo, ni mwaamke anayeishi na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI, ambapo amesema kwamba kwa mara ya kwanza alipojigundua na hali hiyo hakuweza kuikubali na badala yake alianza kujinyanyapaa mwenyewe.

Veronica Lyimo, anaishi na VVU

Kauli hiyo ameitoa hii leo Desemba 1, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, ikiwa leo Dunia inaadhimisha siku ya UKIMWI Duniani, ambapo kitaifa maadhimisho haya yanafanyika mkoani Mbeya.

"Mimi nilipogundulika naishi na maambukizi ya VVU mwaka 2015 nilijinyanyapaa mwenyewe, hali ambayo ilipelekea hata ule unywaji dawa na kupata huduma za kiafya ikawa ngumu kwa upande wangu," amesema Veronica.

Aidha, ameongeza kuwa, "Baada ya Mjomba wangu kuniambia kwamba kuna maisha baada ya VVU akanikutanisha na majukwaa tofauti ya wanawake, na kuingia rasmi kupambana na hali ya kujinyanyapaa mwenyewe na nikagundua sipo peke yangu".

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil