Kampuni ya Promobot imetangaza kulipa Tsh million 459 kwa mtu atakaewapa idhini ya kutumia sura yake na sauti itumike milele katika kutengeneza maroboti ambayo yatafanya kazi katika mahoteli, mall, na sehemu nyingine zenye mikusanyiko ya watu.
Vigezo vya mtu wanae muitaji lazima awe na sura ya ukarimu na sauti ya upole bila kuangalia umri na jinsia.