Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro
Taarifa hiyo imetolewa leo Septemba 20, 2021, na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro.
"Askari hawa (Waliopambana na Hamza) miongoni mwao walikuwa ni Askari 11, ambao kwa mamlaka za kisheria za uendeshaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP amewapa zawadi ya vyeti vya ujasiri na zawadi ya pesa kwa kadri alivyoona inafaa," amesema Kamanda Muliro
Tazama video hapa chini