Picha ya Zari na aliyekuwa mpenzi wake
Zari amefuta picha zao kwenye ukurasa wake wa Instagram na kueleza kuwa ameumizwa na kuvunjika kwa mahusiano yao licha ya kuwa hayakumjenga kimaisha.
“I miss him, but I had to let him go. If it doesn’t build me I won’t keep it”.
The Boss lady na Mnigeria huyo waliweka wazi mahusiano yao mwezi Februari 14 mwaka huu ambayo huwa ni siku ya wapendanao.