Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Van de Beek kukosa Euro 2020

Tuesday , 8th Jun , 2021

Kiungo wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uholanzi Donny Van de Beek ameondolewa kwenye kikosi cha Uholanzi kitakachoshiriki michuano ya Euro 2020 kutokana na majeruhi.

Donny Van de Beek

Taarifa za majeruhi ya kiungo huyo zimetolewa leo asubuhi kupitia mtandao wa kijamii wa Tweeter, lakini pia taarifa hiyo iliweka wazi kuwa kocha Frank de Boer hatajaza nafasi inayoachwa na kiungo huyo kwenye kikosi hicha cha the Oranje.

Van de Beek alijiunga na Manchester United kwenye dirisha la usajili la majira ya joto lilopita akitokea Ajax ya nyumbani kwao Uholanzi, kwa ada ya uhamisho ya pauni million 35 ambayo ni zaidi ya bilioni 114 kwa pesa za kitanzania. Lakini hajawa na mwanzo mzuri katika viunga vya Old Traford kutokana na kutopewa nafasi ya kucheza mara kwa mara na kocha Ole Gunnar Solskjaer.

Uholanza imepangwa kundi C kwenye michuano hii pamoja na timu za Austria, Ukraine na Mecedonia ya Kaskazini na itacheza mchezo wake wa kwanza Juni 13, 2021 dhidi ya Ukraine.

Na ni kwa mara ya kwanza Oranje watakuwa wakishiriki mashindano makubwa tangu mwaka 2014, kwani walishindwa kufuzu kwenye mashindano makubwa yaliyopita, fainali za michuano ya Euro mwaka 2016 na Kombe la Dunia mwaka 2018.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90