Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtandao wa Elimu Tanzania waja na mkutano huu

Sunday , 16th May , 2021

Kufuatia uwepo wa changamoto kadhaa katika sekta ya elimu nchini mtandao wa elimu Tanzania (TENMET) umeandaa mkutano wa kimataifa kuzijadili changamoto hizo ikiwemo uwajibikaji wa pamoja katika kugharamia elimu bora.

Wanafunzi

ukihusisha taasisi zote za elimu za juu, taasisi za utafiti wakiwemo mabalozi wanaowakilisha nchi mbali mbali duniani. Mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete.

“Kila mwaka tumekuwa tunaandaa mktano wa kujadii ubora wa elimu ambao hutoa fursa kwa wadau wa elimu ikiwemo serikali wananchama wa mtandao wadau wa maendeleo kuona ni namna gani elimu wanayoipata watoto wetu inakwenda kujibu changamoto katika dunia ya leo”amesema Ochola. 

Akizungumza na EATV mapema hii leo mratibu wa mtandao huo wa elimu wamesisitiza kuwa kwa takribani miaka 60 ya uhuru wa Tanzania katika mkutano huo itajadiliwa ni elimu ya aina gani ambayo watanzania wanapashwa kuipata kwa sasa itakayokidhi mahitaji ya sasa ikiendana sambamba na mabadiliko ya Tehama.

Mkutano huu wa kimataifa unatarajiwa kufanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia mei 18hadi 20, 2021 ukihudhuriwa na wadau mbali kutoka ndani na nje ya Tanzania.
 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90