Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais afanya uteuzi, yumo aliyekuwa mgombea urais

Saturday , 15th May , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa mbalimbali hapa nchini akiwemo aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama cha ADC katika uchaguzi mkuu wa 2020, Queen Sendiga, ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Iringa.

Queen Sendiga, Mkuu wa mkoa wa Iringa mteule

Taarifa ya uteuzi wa viongozi hao imetolewa hii leo Mei 15, 2021, na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, ambapo miongoni mwa walioteuliwa ni Ali Hapi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora, Anthony Mtaka kuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma, David Kafulila kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.

Wengine ni Aboubakar Kunenge kuwa mkuu wa mkoa wa Pwani, Meja Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti kuwa Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Stephen Kagaigai kuwa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Albert Chalamila, kuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza, Juma Homera kuwa Mkuu wa mkoa wa Mbeya.

Tazama orodha ya wakuu wa mikoa mingine hapa chini

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90