Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Youssou msanii tajiri zaidi Afrika

Tuesday , 11th May , 2021

Youssou N'Dour,  huyu ni mwanamuziki kutoka nchini Senegal anatajwa kuwa ndiye msanii tajiri namba moja barani Afrika akiwa na utajiri wa dola milioni 145 – 150 hii ni kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na African Forbes 2021.

Pichani kutoka kushoto ni msanii Youssou N'Dour, Akon na 2 Baba (2 Face)

N'Dour alianza shughuli ya muziki miaka ya 70’s na ‘Mbalax’ ndio aina ya muziki anaoufanya na unapatikana kwao Senegal. 

Somo kubwa kutoka kwa Youssou N'Dour kwenda kwa wasanii wa Bongo Fleva ni kwamba, jamaa hana habari na mabadiliko ya kimuziki ambayo yamekuwa yakitokea kila uchwao, amebaki na aina ya kwao huko Senegal ambayo amedumu nayo kwa miaka na miaka.

Alishawahi kutajwa kwenye Tuzo za Grammy mara 6 na kushinda  mara 1, kitambo mno zaidi ya.miaka 20 nyuma na alishakuwa na Collabo za kimataifa na kina Wyclef Jean na Cannabis  miaka mingi iliyopita bila ya yeye kubadilika chochote.

Mwaka 2004, jarida la Rolling Stone lilimtaja Youssou N'Dour  kama mwimbaji mashuhuri aliye hai huko Senegal na sehemu kubwa ya Afrika.

Aliwahi kuwa Waziri wa Utalii Senegal kuanzia Aprili 2012 na alidumu mpaka Septemba 2013.

Orodha ya wasanii 10 matajiri Afrika

1.Youssou N'dour –  $145 Milioni
2.Akon – $80 Milioni
3.Black Coffee – $60 Milioni
4.Wizkid – $21 Milioni
5.Davido – $20 Milioni 
6.Don Jazzy – $18 Milioni
7.Burna Boy – $17 Milioni
8.2 Baba (2 Face) – $16.5 Milioni
9.Rude Boy – $16 Milioni
10.Timaya – $12 Milioni

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90