Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chanzo cha Harmorapa kumwaga machozi kisa Alikiba

Tuesday , 30th Mar , 2021

Ni 'Headlines' za msanii wa BongoFleva Harmorapa ambaye amesema kukutana na Alikiba imekuwa kama ndoto kwake na ilimfanya atoe machozi kwa sababu hakuamini kama Alikiba ni shabiki yake na anamfuatilia.

Msanii Alikiba upande wa kushoto, kulia ni Harmorapa

"Niliona kama ndoto kukutana na brother Alikiba, dunia inamtambua kama mfalme wa muziki Africa, huyu jamaa ni mtu poa sana tofauti na watu wanavyomchukulia, ana nidhamu, heshima na upendo wa kweli kwa kila mmoja bila kubagua we niwa dizaini gani" amesema Harmorapa

"Alivyoingia 'backstage' tulipo kuwa tumekaa wasanii alikuja nilipokaa mimi, alivyofika alinikumbatia na kufurah sana kukutana na mimi, basi tukaanza kutaniana na kucheka na mbele ya story aliniambia ananikubali sana"

"Aliishangaza alipoimba mistari ya wimbo wangu, nilianza kulia sikuamini mwisho wa  picha aliniambia nataka wanaokudharau na kukuchukulia poa wakuheshimu, nikamuhoji why unasema hivyo akanijibu nataka nikubariki kwa kukupigia chorus kwenye wimbo wako mmoja" ameongeza 

Alikiba na Harmorapa walikutana siku ya mwisho ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli huko Wilayani Chato, Mkoani Geita.

Zaidi tazama hapa kwenye video.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90