Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanamke asimulia jinsi harusi ilivyompa UKIMWI

Saturday , 5th Dec , 2020

Veronica Lyimo ni mkazi wa jiji la Dar es Salaam, ambapo ameitaja siku ya harusi ya rafiki yake kubadili historia ya maisha yake, baada ya kujikuta akishiriki tendo la ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi bila kutumia kinga na ndipo alipojikuta amepata maambukizi.

Veronica Lyimo, anayeishi na Virusi vya Ukimwi

Veronica amesimulia hadithi yake hiyo kwenye kipindi cha MamaMia kinachoruka kila siku za jumatatu hadi Ijumaa kupitia East Africa Radio, ambapo ameeleza kuwa mara ya kwanza kupima UKIMWI ilikuwa mwaka 2015, ambapo vipimo vya awali vilikuwa tata na ndipo alipoamua kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili na ndipo alipoambiwa kuwa tayari ni mwathirika wa VVU.

Veronica anasema kuwa mara baada ya kupokea majibu hayo, alimua kumshirikisha mpenzi wake, lakini mpenzi wake huyo majibu hayo hayakumshangaza kwa kuwa yeye alikuwa akifahamu toka awali kuwa anayo maambukizi.

"Nilipomwambia mpenzi wangu hakushtuka kabisa, kumbe yeye mwenzangu alikuwa anaijua hali yake ya awali kuwa alikuwa na maambukizi, baada ya kupata hayo majibu nililazwa wodi ya vichaa kwa miezi mitatu kwa sababu nilipata sonona, baada ya kutoka mjomba wangu akanichukua na kunipa ushauri nasaha na kunikutanisha na club za vijana wanaoishi na maambukizi", amesimulia Veronica.

Tazama video hapa chini

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90