
Kushoto ni msanii Country Wizzy, kulia Chidi Benz
Sasa haya hapa ni baadhi ya maneno ambayo ameyatamka Chidi Benz baada ya kumuona Country Boy akiwa na 'Bodyguards' wake.
"Itabidi uwatengeneze hawa Bodyguard kwa mtindo ambao watu wakiwaona wawashangae kwa jinsi ambavyo watakavyovaa, kwanza wawe tofauti kuanzia saa, raba hadi 'timberland' ili wakionekana watu wajue kabisa wale ni watu wake Country Boy sio wa Harmonize, au hata promota wa show akikuona atamani kufanya biashara na wewe" amesema Chidi Benz
Zaidi tazama hapa chini kwenye video.