Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaotumia watu wenye ulemavu kujinufaisha waonywa

Wednesday , 16th Sep , 2020

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Rashid Mfaume, amesema kuwa kumeibuka wimbi la watu wanaotumia walemavu kujipatia kipato kwa kuwa ajiri vijana wanaowatembeza walemavu katika maeneo mbalimbali Jijini humu.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Rashid Mfaume

Dkt. Mfaume amesema hayo leo, katika kikao kazi cha maafisa Ustawi wa Jamii mkoa wa Dar es Salaam, ambapo amewataka wanaofanya hivyo kuacha mara moja na wao kama mkoa wanafuatilia wahalifu hao.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Ng’wilabuzu Ndwata Ludigija, amesema kuwa zaidi ya kaya 10000 jijini Dar es Salaam zimeanza kunufaika na mfuko wa afya wa jamii ikiwa ni mpango wa kuhakikisha huduma za afya zinawafikia watanzania wote kwa usawa bila kujali vipato vyao.

Wadau walioshiriki katika kikao kazi hicho, wamesema kuwa mikopo kwa ajili ya vijana, wanawake na walemavu itolewe mapema ili kutekeleza miradi kwa wakati.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90