Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viwanda vyahimizwa uwekezaji mbolea kwa wakulima

Monday , 17th Aug , 2020

Mamlaka ya udhibiti wa mbolea Tanzania imesema kuwa licha ya serikali kuweka mkakati wa kuwainua wakulima kwa kuweka bei elekezi ya mbolea bado changamoto kubwa ipo kwa uzalishaji wa bidhaa hiyo.

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga akikagua baadhi ya mbolea zinazozalishwa viwandani (Picha na maktaba)

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Dkt. Stephan Ngailo katika mahojiano na EATV ambapo amesema asilimia 90 ya  mbolea inayotumika nchini inazalishwa nje ya nchi huku asilimia 10 pekee ikibaki kwa viwanda vya ndani.
“ Rais wetu Magufuli ameboresha eneo la siasa ya uwekezaji upungufu huo wa mbolea bado sio kikwazo kwa wakulima kulima kilimo chenye tija”

Dkt. Ngailo amesema maandalizi ya usambazaji mbolea kwa wakulima yameanza huku akisisitiza wawekezaji nchini kuchangamkia fursa ya mapinduzi ya viwanda kwa kufungua viwanda vingi vya uchakataji wa mbolea kutokana na mahitaji yake kuongezeka.
“Bado tuna njia ndefu ya kuhamasisha uwekezaji haswa kwenye viwanda vya uzalishaji wa mbolea, mazingira ya uwekezaji yapo wazi ni wafanyabiashara au wawekezaji kuchangamkia fursa hiyo”

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90