
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu.
Waziri Ummy amesema kuwa ongezeko hili la wagonjwa linajumuisha wagonjwa wapya sita, waliotolewa taarifa na Waziri wa Afya wa Zanzibar leo Aprili 15, 2020.
Aidha wagonjwa waliopona wamefikia 11, huku vifo navyo hapa nchini Tanzania vikifikia vinne.