Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Man United yaomba msaada kwa kampuni za mitandao

Tuesday , 20th Aug , 2019

Klabu ya Manchester United imeeleza kusikitishwa na kauli za kibaguzi za mashabiki wa klabu hiyo zinazoelekzwa kwa kiungo wake Paul Pogba kufuatia kukosa penalti katika mchezo wa ligi dhidi ya Wolves.

Paul Pogba na Marcus Rashford

Katika mchezo huo, Pogba alikosa penalti katika dakika ya 68 ya mchezo, ambapo mwisho wa mchezo timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1.

Sehemu ya taarifa iliyotolewa na Manchester United kuhusu suala hilo imesema, "kila mmoja hapa Mmanchester United amesikitishwa na ubaguzi unaoendelea juu ya Paul Pogba kwa kilichotokea usiku wa jana, tunlaani kwa nguvu kitendo hicho".

"Yoyote anayefanya kitendo hiki hawakilishi thamani na ukubwa wa klabu yetu na inatia faraja kuona mashabiki wakilaani suala hili katika mitandao ya kijamii. Tunafanyia kazi kuwafahamu wachache waliohusika katika suala hilo na kuwachukulia hatua kali. Pia tunahimiza makampuni ya mitandao ya kijamii kuchukua hatua kwenye hili", imeendelea kusema taarifa hilo.

Man United ina alama nne mpaka sasa katika michezo miwili iliyocheza, ikishinda mchezo wa kwanza dhidi ya Chelsea na kutoka sare mchezo wa pili dhidi ya Wolves, Jumatatu Agosti 19.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90