Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwana FA aongelea Ubunge pamoja na ngumi raundi 12

Monday , 19th Aug , 2019

Msanii wa HipHop na Mfanyabiashara hapa nchini Tanzania Mwana Fa, amenyoosha maelezo juu ya watu wengi kulitaja  jina lake kama linaweza kuingia kwenye siasa.

Mwana FA

Msanii huyo amefunguka hayo kupitia EATV & EA Radio Digital ambapo amesema,

"Sijui nini kinawafanya watu waamini kama naweza kuingia kwenye siasa, lakini huwezi jua zote ni kadari tu sijajua nilichopangiwa kufanya kesho. Naamini chochote nitakachoamua kufanya kitakuwa ni manufaa ambayo sio yangu tu ni kwa jamii nzima".

Aidha Mwana Fa ameendelea kusema  kuwa hawezi kusema kama anaweza au hawezi kuingia kwenye siasa kwa sababu  suala hilo lipo katikati.

Licha ya kazi ya usanii na ufanyaji biashara Mwana Fa ni mjumbe wa bodi ya Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), pia ni mmoja wa watu maarufu ambao wana ushawishi mkubwa hapa Tanzania.

Aidha Mwana Fa ambaye jina lake la utani ni "James Bond" amesema bado anauwezo wa kucheza ngumi ulingoni na anaweza akapanda ulingoni kupambana kwa raundi zote 12.
 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90