
Waziri Kigwangalla amefikia uamzi huo baada ya hivi karibuni Rais Magufuli kumteua Prof. Abiud Kaswamila kuwa Mwenyekiti Mpya wa Bodi.
Taarifa kutoka Wizara hiyo imeeleza kuwa uteuzi mpya wa wajumbe wa Bodi hiyo utafanyika hivi karibuni.
Taarifa ya Wizara.