Thomas Ulimwengu
Ulimwengu amesema mapema sana kuzungumza chochote, kwa sababu bado hajaafikiana na timu anayofanya nayo mazungumzo.
Ulimwengu yupo nchini tangu mapema mwezi huu baada ya kuhitimisha miaka yake mitano ya kuitumikia klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na sasa anashughulikia mipango ya kuhamia Ulaya