
Kenzo amesema kuwa, amekuwa akifanyakazi zake zote akiwa chini ya Ogopa na amewafahamu kama familia yake, na baada ya kuwa nje ya lebo hii sasa amepoteza matumaini katika muziki wake kabisa.
Kenzo amesema kuwa, amejiona kama mtengwa na anatarajia pengine kutakuwa na mabadiliko ambayo yatasaidia kumtengenezea njia ya kumrudisha katika gemu.