Sunday , 13th Dec , 2015

Nyota wa muziki AY baada ya kutoa wimbo mpya alioubatiza jina 'Happy season' ukiwa ni maalum kwa mashabiki wote wanaosheherekea sikukuu ya X-Mas, mkali huyo aweka wazi nia na dhumuni lake la kutoa track hiyo wakati huu wa sherehe za X-Mas.

Nyota wa muziki nchini AY

AY amesema ikifika wakati wa sherehe za Xmas wengi husikiliza rekodi za magwiji wa muziki akiwemo Jim Reeves na wengineo wengi, ameamua kubadili mfumo huo kwa kutoa track hiyo ambayo kupitia enewz mkali huyo anaelezea kwa undani project hiyo mpya.