
Nuh Mziwanda
Nuh amesema kuwa, kutokana na malengo aliyokuwa nayo katika muziki huu, aliweza kuvuka kishawishi hiki akiwa ana amini kuwa asingeweza kusimama mpaka sasa kama msanii, endapo anayeingia mkenge na kuanza kufanya biashara hiyo.
00:00
00:00
00:00