
Mtu akichukuliwa damu kwaajili ya vipimo.

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis.

Mwenyekiti CCM mkoa wa Iringa ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh. Albert Chalamila (aliyesimama).

Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Bw. Paul Rwegasha (kulia) akizungumza na waandishi wa habari juu ya udhibiti wa magonjwa ya mlipuko kwenye kiwanja hicho. Hivi karibuni ugonjwa wa Ebola umetangazwa kutokea nchini Kongo.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na wafanyabiashara wa soko la samaki la kimataifa la Kirumba jijini Mwanza.