
Kabange amesema, matatizo aliyaona uwanjani baina ya waamuzi na wachezaji ni yakawaida na hata matatizo katika kikosi chake ameshayafanyia kazi tayari kabisa kwa ajili ya muendelezo wa Ligi kuu utakaoendelea Desemba 12 mwaka huu.
Kabange amesema, kwa upande wa nidhamu timu yake inanidhamu kutokana na nitimu ya Jeshi na lazima wawe na nidhamu ili kuweza kufanya vizuri kwani nidhamu pia inachangia mchezaji kuweza kufanya vizuri.