Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFF yafunguka kuhusu deni wanalodaiwa na TRA

Monday , 20th Mar , 2017

Shirikisho la Soka nchini TFF limesema, wadau husika wa deni wanaodaiwa na Mamlaka ya Mapato nchini TRA ambao ni pamoja na serikali pamoja na klabu yaYanga, wanaendelea na mazungumzo ili kuweza kuafikiana juu ya deni hilo.

Ofisi za TFF bado zimeendelea kushikiliwa na TRA

Afisa habari wa TFF Alfred Lucas amesema deni hilo linawahusu pia wadau hao (Yanga na serikali) na kwamba TRA haikuweza kuwadai Yanga moja kwa moja kutokana na mdau mkubwa ambaye ni TFF kuwa ndiye mwenye mamlaka ya kusimamia suala hilo.

"Deni hili linatokana na Yanga katika mchezo wa msimu uliopita wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya TP Mazembe ambapo mashabiki waliingia bure na serikali iliangalia watu sasa katika kupiga hesabu ya watu walioingia Uwanjani Serikali haikuweza kuwasiliana na Yanga moja kwa moja kwa ajili ya fedha zinazotakiwa, hivyo ikaangalia chombo chenye muunganiko na Yanga ambao ni sisi TFF" Amesema.

Alfred Lucas

Kuhusu serikali, Lucas amesema "Suala lingine ni la Timu ya Taifa ya Brazili mbayo ilikuja nchini mwaka 2010 na kabla ya hapo kuna suala pia la aliyekuwa kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania Marcio Maximo,"

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90